Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo?



*UTANGULIZI*
: Kuchua / kusugua baadhi ya sehemu za mwili kunaleta raha na kumaliza ashki ya tendo takatifu la ndoa...
: Kwa wanawake wengi kinembe/kisimi ndiyo sehemu haswa inayoleta raha...
Hii ni kwa sababu sehemu hii ina mishipa mingi ya kusisimua mara ikiguswa...
Njia moja ya kupata raha na kumaliza ashki ni kuchua taratibu sehemu hii...
Hii ni njia moja ya kutoshelezana kimahaba...
Kinembe au kisimi au clitoris au clit au joy button, hot spot nk ni moja ya kiungo ambacho humsisimua mwanamke zaidi kuliko kiungo chochote katika mwili wake unaovutia...
Hiki kiungo kipo eneo la juu zinapounganika kuta za ndani za uke (Labia minora)...
Ni rahisi kukipata kiungo hiki kwa macho na kwa kugusa au kupapasa...
Kisimi/ kinembe hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, wengine ni kidogo sana na wengine huwa kikubwa
: *KIPOJE...*?..
Kisimi/kinembe kina sehemu muhimu 18 na kile tunaona na kugusa kwa nje ni kitu kidogo sana ukilinganisha na siri iliyofichwa ndani. .
Kwa nje kisimi/ kinembe kimejigawa katika sehemu kuu tatu kichwa, msukano (shaft) na mfuko ambao hufunika kichwa na msukano...
: Mwanamke akisisimka kimapenzi kisimi/ kinembe, hudinda au huongezeka au kutuna na kimfuko hurudi kwa nyuma na kichwa ambacho ni very sensitive hujitokeza na kuwa kigumu...
: Kisimi / kinembe kipo eneo la juu baada ya tundu la kibofu cha mkojo na chini ya tundu la kibofu cha mkojo kuna tundu la uke...
: Ngozi laini inayofunika kisimi/ kinembe, huwa na stimulation ya uhakika na kuna baadhi ya milalo huwezesha kusugua hii ngozi na mwanamke hujisikia raha zaidi wakati wa tendo la ndoa...
*KAZI YAKE NI NINI...?..*
Kisimi/ kinembe ni powerful organ kwa ajili ya raha ya tendo la ndoa kwa mwanamke, kina nerves zaidi ya 8,000 kuliko sehemu yoyote katika viungo vya binadamu....why..? Ukweli ni kwa ajili ya kumpa mwanamke raha kimapenzi...
Kisimi kazi yake ni moja tu kumpa mwanamke raha ya mapenzi...
Na wanasayansi wamegundua kwamba chini ya kisimi/ kinembe...kuna network ya tishu za msisimko, misuli, nerves na mishipa ya damu ambayo kwa pamoja huitikia na kujikunja wakati wa tendo la ndoa na kupelekea mwanamke kufika keleleni...
Tofauti na uume ambao hutoa mlipuko mmoja wa kufika kileleni kwa sekunde chache,...
kisimi/ kinembe hutoa mlipuko wa muda mrefu wa aina zaidi ya 100 za raha, Hii ina maana kisimi ni zaidi ya uume kwa kutoa raha ya kimapenzi...
: Ole wenu mnaowafanyia ukeketaji wanawake, mna kesi ya kujibu kesho kwa ALLAH... Kwani mnawanyima haki yao ya kuzaliwa kupata raha ya kimapenzi...
*Je, wengi wanajua umuhimu wa kisimi katika raha ya tendo la ndoa...*?...
Wanaume na wanawake wengi tunapozungumzia suala la tendo la ndoa, huchukulia kwa mtazamo wa kiume (mfumo dume) kwa maana kwamba tendo la ndoa ni nzuri sana kwa wanaume na si wanawake na kwamba jukumu la nani aanze ni mwanaume na kwamba wanawake hawapo powerful kwenye tendo kama wenzao wanaume...
Hata hivyo mwanamke akifahamu utendaji wa mwili wake kiungo baada ya kiungo anaweza kugundua na kuimarisha furaha ya tendo la ndoa akisaidiana na mume wake na moja ya viungo muhimu ni kisimi/ kinembe...
Na pia anaweza kufahamu ni namna gani anaweza kufika haraka kileleni kwa kujua kisimi kilivyo muhimu kwake...
*Je, nini umuhimu wa kisimi wakati wa tendo la ndoa...?...*
: Wanawake wengi ili kufika kileleni (orgasm) ni muhimu sana kusuguliwa, kuchezewa kisimi...
Hii ni kwa sababu uke hauwezi kumpa direct stimulation wakati wa tendo la ndoa na pia mwanaume hawezi kusugua uke kiasi cha mwanamke kufika kileleni bali uke huweza kumpa mwanaume msuguano ambao humuwezesha yeye mwanaume kufika kileleni haraka...
Hii ina maana mwanaume anatakiwa kuelekeza nguvu nyingi kuhakikisha anasisimua kisimi kwa muda wa kutosha kuliko uume wake kuwa kwenye uke na kuusugua kwa skills zote badala ya kuelekeza skills zote kwenye kisimi...
Hii ina maana kwamba kama mwanaume anataka kufika kileleni haraka ni kwa mwanamke kumruhusu mwanaume kuingiza uume wake kwenye uke na mwanaume
Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Reviewed by Cadotz media on December 26, 2018 Rating: 5

No comments

Ndugu ahsante kwa kuitembelea Cadotz, Endelea kufurahia huduma zetu pia Tunakusogezea Cadotz uchague unachokitaka katika menyu zetu.
Bofya chini

MIZIKI | MAPENZI | AFYA